Filename | APN-ICWEA-Policy-Brief-Swahili-1.pdf |
Filesize | 2.63 MB |
Version | |
Date added | August 11, 2020 |
Downloaded | 663 times |
Category | Policy Brief, Position Paper |
slide_template | default |
Kusaidiwa kujulisha mchumba umekuwa mkabala muhimu unaotumiwa na maafisa wa
afya katika kutibu magonjwa yanayosambazwa kutoka mtu mmoja hadi mwingine kwa
miongo kadha, mkiwemo mipango inayolenga magonjwa ya zinaa na kifua kikuu (TB).
Mikabala ya kuwajulisha wachumba hali yao ya afya imeonekana kuwa inafaulu katika
kupima na kutibu magonjwa ya zinaa na kuzuia kuambukizwa tena. Vile vile, kuendelea
kufuatilia watu wenye uhusiano na wagonjwa na vipimo vya kujitolea kwa jamaa za
wagonjwa wa TB ni njia bora na iliyo mwafaka ambayo imetumika na ikafaulu kwenye
jumuiya zenye kiasi kikubwa cha wagonjwa wa Ukimwi na TB. Kufikia mwisho wa mwaka
2015, ilikadiriwa kwamba zaidi ya watu miliyoni 36 duniani kote walikuwa na Ukimwi, na
asilimia 40 kutoka idadi hiyo walikuwa hawajapimwa. Ili kuziba pengo hili na kutimiza
malengo ya vipimo na matibabu ya shirika la UNAIDS (malengo ya 90:90:90), mikakati
mipya ilihitajika ili kuwezesha vipimo vingi sana na vyenye kiwago bora. Mkakati
kusaidiwa kujulisha mchumba unaweza kusababisha ongezeko la vipimo wakati pia watu
wenye Ukimwi ambao hawajapimwa watajulikana.
Good day!
I hope this email finds you well. My name is Nancy, a radio journalist working with a community/learning radio station in Kakamega, Western Kenya and I run a weekly radio programme on HIV and AIDS in conjuction with the AIDS CONTROL UNIT at my place of work; 103.9 MMUST FM.
I have read widely about your activities, and I am most interested to further know what you do, other activities that you undertake here in Kenya, and if there’s a way that your organization can incorporate radio journalists in your team to help spread your agenda. Especially those that produce programs in tandem with your agenda.
May I ask, do you have a network of journalists across the region that are able to help with your agenda? My interest lies with the possibility that I might be able to generate news stories from activities you undertake or positive broadcast programs to our listener-ship and much more.
Awaiting a positive response from you.
Kind Regards,
Nancy Imali
imalinancy@gmail.com/nogonyo@mmust.ac.ke
+254 725453916
Dear Nancy,
It is great to hear from you and we would definately like to work with you. Let us continue the conversation on email.
Thank you.