Filename | ICWEA-HIV-Criminalizing-Policy-Brief-Swahili-1.pdf |
Filesize | 2.86 MB |
Version | |
Date added | August 11, 2020 |
Downloaded | 641 times |
Category | Policy Brief |
slide_template | default |
kuhusu kiasi cha faulu au ukosefu wa sera za kitaifa au za kimataifa, masharti na sheria kuhusu
suluhisho la Ukimwi. Huibuka kataika muktadha wa Ukimwi na haki za kibinadamu na kuandaa
miradi bora ya kukabili Ukimwi. Mkabala bora ni pale unapoweza kutimiza malengo ya jumuiya
ya kimataifa ya kupima, kukinga na kutoa matibabu. Mkabala wa Uganda dhidi ya Ukimwi
umekuwa wenye uwazi, kuwajibika kwa pamoja, mchango mkubwa wa viongozi wa kisiasa na
ushirikiano na mashirika ya nchini na ya kimataifa. Lakini, katika mwaka 2014, nchi ya Uganda
ilipitisha sheria ya Kudhibiti na Kukinga Ukimwi. Sehemu III, aya 43 ya sheria hiyo inataja kwamba
“yeyote atakayedhamiria au kuwa na nia ya kusambaza Ukimwi kwa mtu mwingine atakuwa
ametenda kosa la jinai na atahukumiwa kifungo kinachotimia miaka 10”. Tamko hili linachukulia
kwamba mtu huwa tayari anajua kuwa ama ana Ukimwi au hana, ndipo “adhamirie” and “awe na
nia ya” kusambaza Ukimwi. Lakini, ushahidi wa utati uliopo unaonyesha kwamba kitendo kama
hiki cha kuchukua hatua za kisheria kinaweza kutia watu hofu wasijitokeze kwenda kupimwa
Ukimwi na kupata huduma nyinginezo husika.
Good day!
I hope this email finds you well. My name is Nancy, a radio journalist working with a community/learning radio station in Kakamega, Western Kenya and I run a weekly radio programme on HIV and AIDS in conjuction with the AIDS CONTROL UNIT at my place of work; 103.9 MMUST FM.
I have read widely about your activities, and I am most interested to further know what you do, other activities that you undertake here in Kenya, and if there’s a way that your organization can incorporate radio journalists in your team to help spread your agenda. Especially those that produce programs in tandem with your agenda.
May I ask, do you have a network of journalists across the region that are able to help with your agenda? My interest lies with the possibility that I might be able to generate news stories from activities you undertake or positive broadcast programs to our listener-ship and much more.
Awaiting a positive response from you.
Kind Regards,
Nancy Imali
imalinancy@gmail.com/nogonyo@mmust.ac.ke
+254 725453916
Dear Nancy,
It is great to hear from you and we would definately like to work with you. Let us continue the conversation on email.
Thank you.